Sbs Swahili - Sbs Swahili
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 159:49:36
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episódios
-
Makala leo: Wakristo waadhimisha Pasaka na Jumapili ya Matawi kwa mioyo mizito na furaha
07/04/2026 Duração: 09minWaumini wa dini laki kristo walisherehekea Jumapili ya Pasaka, wakiadhimisha tukio hilo wakati vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati vikifunika sehemu kubwa ya dunia.
-
Makala leo: Waustralia waonywa kupata chanjo dhidi ya aina ya mafua inayo sambaa haraka
07/04/2026 Duração: 07minWataalamu wa magonjwa ya kuambukiza wanahimiza kila mtu apate chanjo ya mafua, kwa ajili ya kujaribu kuzuia kurudia kwa mwaka jana ambapo Australia ilishuhudia idadi kubwa ya vifo vilivyo sababishwa na mafua.
-
Taarifa ya Habari: Australia yapata usambazaji wa mafuta wa mwezi mwingine
06/04/2026 Duração: 04minSerikali ya shirikisho imesema ugavi wa akiba ya mafuta ya Australia sasa umeongezwa hadi Mei, kuanzia katikati ya Aprili.
-
Taarifa ya Habari: 13 wauawa katika milipuko Burundi
03/04/2026 Duração: 14minUshuru wa petroli unatarajiwa kupunguzwa zaidi, wakati viongozi wa majimbo na wilaya wakikubaliana kuhusu mpango wa kurejesha mapato ya ziada ya ushuru wa bidhaa na huduma kutokana na kupanda kwa bei za mafuta.
-
Makala leo: 'Acha kutumia miili ya wanawake' kundi la misaada laonya, unyanyasaji wa kingono ukienea Sudan
03/04/2026 Duração: 14minWanawake na wasichana wanaokimbia vita vya Sudan wanaelezea ubakaji, mateso na unyanyasaji, huku wafanyakazi wa misaada wakionya kwamba mateso yanazidi kuwa makubwa kuliko visa vinavyofikia huduma ya matibabu.
-
Makala leo: Hotuba ya Waziri Mkuu yapokewa kwa hisia mseto
03/04/2026 Duração: 09minHotuba ya kitaifa ya Waziri Mkuu Anthony Albanese kuhusu uchumi unaokabiliwa na matatizo nchini humu, inayosababishwa na mgogoro wa nishati duniani, imepokewa kwa hisia mseto.
-
Taarifa ya Habari: Milipuko yasababisha mtafaruku Bujumbura
02/04/2026 Duração: 06minWaziri wa ulinzi amethibitisha kwamba Australia itajiunga na kundi la mataifa katika mkutano wa dharura kuhusu jinsi ya kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz.
-
Makala leo: Afueni kwa madereva wanaokabiliwa na matatizo baada ya serikali kupunguza ushuru wa mafuta
31/03/2026 Duração: 10minBaada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.
-
Taarifa ya Habari: Serikali yachukua hatua yakupunguza bei ya mafuta nchini baada ya siku kadhaa za shinikizo
31/03/2026 Duração: 13minWaziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.
-
SBS Learn Eng Ep 104 Makala ya ziada: Jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani
31/03/2026 Duração: 04minJe, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani?
-
Australia Yafafanuliwa: Pasaka ya Australia:Kuchunguza mila za kijamii na kitamaduni zaidi ya dini
31/03/2026 Duração: 14minPasaka inachukuliwa kuwa likizo muhimu zaidi katika kalenda ya Kikristo.
-
Taarifa ya Habari: Ongezeko ya bei ya mafuta yalazimisha serikali izingatie hatua zakufanyia kazi nyumbani
30/03/2026 Duração: 06minHatua za kufanyia kazi nyumbani zinaweza wasilishwa lakini mgao wa mafuta hauzingatiwi, na viongozi wanaohudhuria mkutano wa kitaifa wa baraza la mawaziri leo kuhusu mgogoro wa mafuta.
-
SBS Learn Eng Ep 70 Jinsi yakufanya mazungumzo wakati wa BBQ
30/03/2026 Duração: 11minJe, unajua jinsi ya kufanya mazungumzo wakati wa BBQ?
-
Taarifa ya Habari: Vituo na Wasambazaji kupewa faini ya milioni $100 wakiongeza bei ya mafuta kwa njia bandia
27/03/2026 Duração: 14minVituo vya mafuta na wasambazaji watakaopatikana wakiongeza bei kutokana na vita vya Mashariki ya Kati watakabiliwa na adhabu mpya kali.
-
Mgogoro wa nishati unaokuja una athari kubwa na kali
27/03/2026 Duração: 13minShirika la Nishati la Kimataifa linaonya viongozi wa dunia huenda hawathamini, kina cha mgogoro wa nishati unaokaribia, huku vita vya Marekani na Iran vikiendelea.
-
Taarifa ya Habari: Serikali za Australia na Ujerumani za imarisha uhusiano wa usalama
26/03/2026 Duração: 05minWaziri wa ulinzi wa Ujerumani amekutana na mwenzake wa Australia Richard Marles, katika ziara ya kwanza ya mtu aliyehudumu katika nafasi hiyo katika kipindi cha miaka 8.
-
Australia Yafafanuliwa:Jinsi yakununua sanaa za kiasili kimaadili nchini Australia
25/03/2026 Duração: 09minJe, unajua kwamba zawadi tatu kati ya nne zinazouzwa nchini Australia, kama za asili au zilizotengenezwa kwa mtindo wa Asili zimegundulika kuwa si za kweli?
-
Makala leo: Rhoda Roberts AO: Shujaa wa utamaduni aliyebadilisha taifa
24/03/2026 Duração: 11minSalamu za rambirambi zinatolewa kwa Mwanamke aliyekuwa akitoa mwongozo na ushauri katika shirika la habari la SBS kutoka ukoo wa Widjabul Wia-bal, Shangazi Rhoda Roberts, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 66.
-
Taarifa ya Habari 24 Machi 2026
24/03/2026 Duração: 14minAustralia inatafuta kupata uhakikisho wa usambazaji wa nishati kutoka kwa washirika wa biashara wakati kukiwa ongezeko la hofu kuwa nchi zitahifadhi mauzo ya nje ya mafuta kwa ajili ya masoko yao ya ndani.
-
Yaliyojiri Afrika: Kenya na Uganda za zindua upanuzi wa ujenzi wa reli
24/03/2026 Duração: 07minMarais wa Kenya na Uganda walikutana mjini Kisumu, kuzindua ujenzi uliocheleweshwa wa upanuzi wa reli yenye thamani ya mabilioni ya dola iliyojengwa na China.