Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari: Serikali yachukua hatua yakupunguza bei ya mafuta nchini baada ya siku kadhaa za shinikizo
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:13:35
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Waziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.