Informações:
Sinopse
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Episódios
-
Maoni: Tume mpya iliyoundwa Tanzania italeta majibu ya vurugu za uchaguzi wa 2025?
20/05/2026 Duração: 09minKatika makala ya Habari Rafiki leo tunaangazia hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, kuunda tume maalumu ya jinai itakayochunguza matukio ya vurugu zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 mwaka uliopita, ili kubaini vitendo vilivyofanywa na kuwataja waliohusika ili waajibishwe kisheria
-
Wakenya walazimika kutembea baada ya magari ya uchukuzi wa umma kugoma.
20/05/2026 Duração: 09minSiku ya Jumatatu uchukuzi ulitatizwa nchini Kenya kufuatia mgomo wa wahudumu wa magari ya uchukuzi wa umma kupinga ongezeko la bei ya mafuta. Hii ni baada ya serikali kupandisha Lita moja ya Petroli kufikia Shilingi za nchi hiyo 214 huku ile ya Dizeli ikifikia Shilingi 242. Tumemuuliza mskilizaji wetu anzungumziaaje kilichotokea nchini Kenya na nchini mwake hali iko je kuhusu bei ya mafuta.
-
Umejiandaa aje kujikinga na mlipuko mpya wa virusi hatari vya Ebola?
20/05/2026 Duração: 09minShirika la afya duniani limetangaza hali ya dharura ya kiafya duniani kutokana na mlipuko wa virusi vya Ebola mashariki mwa DRC, ikizitaka nchi kuchukua tahadhari kufuatia hofu ya ugonjwa huo kusambaa zaidi. Tumemuuliza mskilizaji wa RFI Kiswahili akiwa DRC na kwenye ukanda wa Afrika Mashariki anachukua hatua gani kujikinga.
-
-
-
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa hatojiuzulu kufuatia kesi ya ufisadi
16/05/2026 Duração: 10min -
-
Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana
11/05/2026 Duração: 09minMkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.
-
Sheria mpya ya Uganda kukabili wageni wanaoingilia masuala yake ya ndani
08/05/2026 Duração: 09minSheria kama hiyo pia inatumika na Urusi, inakosolewa na wanaharakati wa haki za kibinadamu huku wapinzani wakisema inawalenga, kwa sababu ya kukosoa utawala wa rais Ypweri Museveni. Unazungumziaje sheria hii mpya nchini Uganda ?
-
Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z
08/05/2026 Duração: 09minRais Samia Suluhu Hassan, anataka Kenya na nchi yake ya Tanzania kushirikiana ili kukabili uanaharakati wa 'kuvuka mipaka' kutoka kwa vijana wa Gen Z ambao ameelezea unatishia amani na usalama wa nchi nchi za Afrika Mashariki. Unazungumziaje kauli hii ya rais Samia? Unadhani ni sahihi kwa vijana kuadhibiwa kwa kushinikiza mabadiliko kwenye nchi zao?
-
Ziara ya Rasi William Ruto nchini Tanzania na makubaliano baina ya nchi hizo
08/05/2026 Duração: 09minKenya na Tanzania zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote visivyo vya kikodi vya kibiashara, ili kuimarisha ushirikiano wa kibiashara. Unaamini yaliyokubaliwa kati ya nchi hizo mbili yatatekelezwa ?
-
Nini zaidi kifanyike kulinda uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari
08/05/2026 Duração: 09minMsikilizaji mei 3 2026 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya Uhuru wa wanahabari, ripoti zikionesha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya waandishi wa habari.
-
Mchango wa waskilizaji kuhusu taarifa za wiki ikiwemo rais wa zamani Joseph Kabila kuwekewa vikwazo
02/05/2026 Duração: 10min -
UN umeendelea kuonya kuhusu mzozo wa Sudan kunyamaziwa na mataifa ya ulimwengu
02/05/2026 Duração: 10min -
-
-
Visa vya chuki dhidi ya raia wa kigeni vinaendelea kushuhudiwa Afrika Kusini
28/04/2026 Duração: 10min -
-
Maandamano ya vijana wa Gen Z nchini Kenya kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta
21/04/2026 Duração: 09min -
makubaliano mapaya kati ya Serikali ya DRC na M23 kukubaliana
20/04/2026 Duração: 10minSerikali ya DRC na waasi wa M23, mwishoni mwa juma wamekubaliana kuruhusu misaada ya kibinadamu kufika kwenye maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo pamoja na kubadilishana wafungwa katika muda wa siku 10 zijazo, haya yakifuatia mazungumzo ya Uswis yalitoratibiwa