Habari Rfi-ki

Sheria mpya ya Uganda kukabili wageni wanaoingilia masuala yake ya ndani

Informações:

Sinopse

Sheria kama  hiyo pia  inatumika na Urusi, inakosolewa na  wanaharakati wa haki za kibinadamu huku wapinzani wakisema inawalenga, kwa  sababu ya kukosoa utawala wa rais Ypweri Museveni. Unazungumziaje sheria hii mpya nchini Uganda ?