Habari Rfi-ki
Sheria mpya ya Uganda kukabili wageni wanaoingilia masuala yake ya ndani
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:59
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Sheria kama hiyo pia inatumika na Urusi, inakosolewa na wanaharakati wa haki za kibinadamu huku wapinzani wakisema inawalenga, kwa sababu ya kukosoa utawala wa rais Ypweri Museveni. Unazungumziaje sheria hii mpya nchini Uganda ?