Habari Rfi-ki

Ziara ya Rasi William Ruto nchini Tanzania na makubaliano baina ya nchi hizo

Informações:

Sinopse

Kenya na Tanzania zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote visivyo vya kikodi vya kibiashara, ili kuimarisha ushirikiano wa kibiashara. Unaamini yaliyokubaliwa kati ya nchi hizo mbili yatatekelezwa ?