Habari Rfi-ki
Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:57
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Rais Samia Suluhu Hassan, anataka Kenya na nchi yake ya Tanzania kushirikiana ili kukabili uanaharakati wa 'kuvuka mipaka' kutoka kwa vijana wa Gen Z ambao ameelezea unatishia amani na usalama wa nchi nchi za Afrika Mashariki. Unazungumziaje kauli hii ya rais Samia? Unadhani ni sahihi kwa vijana kuadhibiwa kwa kushinikiza mabadiliko kwenye nchi zao?