Wimbi La Siasa
Kwanini kampeni za mapema zimeanza nchini Kenya kuelekea uchaguzi wa 2027?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:53
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Siasa za kampeni ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027, zimeanza kupamba moto nchini Kenya, mwaka mmoja kabla ya wananchi kupiga kura. Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amejitokeza waziwazi na kumkosoa mrithi wake William Ruto kwa namna anavyoongoza serikali. Ruto na washirika wake, wanamtaka Uhuru kuachana na siasa. Tunachambua kauli za viongozi hao wa kisiasa.