Wimbi La Siasa
Kwanini suala la siasa na usalama, halikupewa nafasi kubwa kwenye mkutano wa Afrika na Ufaransa ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:09
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Mkutano wa siku mbili kati ya Ufaransa na mataifa ya Afrika, uliofanyika jijini Nairobi nchini Kenya kati ya Mei 11 hadi 12, haukutoa kipaumbele suala la siasa na usalama katika mataifa ya Afrika, wakati huu nchi kama DRC, Sudan na yale ya ukanda wa Sahel kama Mali, Niger na Burkina Faso yakishuhudia changamoto kubwa ya kiusalama. Tunachambua kwa kina.