Wimbi La Siasa

Mpango wa DRC kuwakubali wahamiaji waliofukuzwa Marekani kwazua mjadala

Informações:

Sinopse

Hatua ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kuingia kwenye makubaliano na Marekani ili kuwapokea wahamiaji haramu waliofukuzwa nchini humo, kumezua mjadala mzito katika nchi hiyo inayoendelea kukabiliwa na utovu wa usalama, hasa maeneo ya Mashariki. Kwanini kuna mvutano ?