Wimbi La Siasa
Kwanini Ruben Kigame, anataka kuwa rais wa Kenya 2027 ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:12
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ni mwezi Agosti mwaka 2027, lakini wanasiasa mbalimbali wameanza kuonesha nia ya kugombea kiti cha urais. Miongoni mwao ni Ruben Kigame, mwanasiasa, mwanaharakati, mhadhiri, mwandishi wa Habari na mwanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili. Yeye ni mlemavu wa Macho, ameamua kujitosa uwanjani, kutafuta uongozi wa nchi ya Kenya. Nini kimemsukuma ? Wiki hii anazungumza na mwenzangu, Benson Wakoli.