Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari: Kenya na Ufaransa zapiga hatua katika mkataba wa ulinzi

Informações:

Sinopse

Serikali ya Australia inasema haifikirii kutuma meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz, baada ya Rais Donald Trump kusema mataifa mengine yatahusika katika kizuizi cha Marekani kwenye njia hiyo ya maji.