Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari: Serikali ya Australia na Singapore kutia saini makubaliano mapya ya usambazaji wa mafuta
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:13:11
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Waziri Mkuu Anthony Albanese anasema uhusiano kati ya Australia na Singapore ni muhimu zaidi kuliko hapo awali, nchi hizo mbili zikijiandaa kusaini makubaliano mapya ya mafuta.