Wimbi La Siasa
Viongozi wa ODM wanaweza kuungana tena baada ya mpasuko wa chama ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:10
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Chama siasa cha Orange Democratic Movement-ODM kinaendelea kugawanyika, kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2027 nchini Kenya. Tangu kufariki dunia kwa Raila Odinga, mwasisi wa chama hicho kikubwa cha upinzani, viongozi waandamizi wa ODM wameshindwa kuelewana kuhusu kuendelea kumuunga mkono rais William Ruto, anayetarajiwa kuwania tena urais kwa muhula wa pili. Nini hatima ya chama hiki ?