Wimbi La Siasa
DR Congo: Ni wakati mwafaka wa kuibadilisha katiba ya DRC ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:09
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Mjadala wa kuibadilisha katiba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, umepamba moto. Wanasiasa wanaoegemea upande wa rais Felix Tshisekedi na chama chake cha UDPS wanaunga mkono mchakato wa katiba kubadilishwa. Upinzani wakiongozwa na naibu Spika wa Bunge la Seneti aliyejiuzulu Modeste Bahati Lukwebo, unapinga. Ni wakati mwafaka wa kuibadilisha katiba ya DRC ?