Wimbi La Siasa
Nini hatima ya vita vya Marekani na Israeli nchini Iran ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:09
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Ni wiki ya tatu sasa, baada ya Marekani na Israeli zilipoanza kutekeleza mashambulizi ya kijeshi nchini Iran. Mataifa hayo mawili yanasema lengo la mashambulizi hayo ni kuhakikisha kuwa inaharibu kabisa miundo mbinu ya Iran kutengeneza silaha za nyuklia. Rais wa Marekani Donald Trump, anasema vita hivi vitamalizika hivi karibuni, lakini haifahamiki ni lini. Tunachambua.