Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari:Wakazi wa Kusini Australia wa elekea debeni, je kutakuwa mabadiliko ya serikali?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:12:58
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema usambazaji wa mafuta nchini Australia uko salama, lakini anataka Australia iwe tayari kupita kiasi linapokuja suala la kudhibiti uhaba wa mafuta nchini humu.