Sbs Swahili - Sbs Swahili
Yaliyojiri Afrika: 45 wafariki katika mafuriko mjini Nairobi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:07:44
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Nchini kenya idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa wiki iliopita, imeongezeka kutoka 23 na sasa idadi hiyo imefikia watu 45, kwa mujibu wa taarifa ya polisi nchini humo.