Wimbi La Siasa

Kenya: Kwanini chama cha ODM kimegawanyika kuelekea uchaguzi mkuu 2027 ?

Informações:

Sinopse

Joto la kisiasa limeendelea kupanda kwenye chama cha siasa cha ODM nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Chama hicho kilichoanzishwa zaidi ya miaka 20 iliyopita na aliyekuwa Waziri Mkuu Marehemu Raila Odinga, kimegawanyika kwa makundi mawili. Kundi moja linaongozwa na Oburu Oginga, kaka yake Raila, linamuunga mkono rais William Ruto. Kundi lingine, linangozwa na Edwin Sifuna, Katibu Mkuu anayempinga Ruto. Nini hatima ya chama hiki ?