Wimbi La Siasa
Mazungumzo ndio suluhu ya changamoto zinazoikabili DRC ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:14
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi amesema serikali yake ipo tayari kuongoza mazungumzo kati ya Wakongomani, ili kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili nchi hiyo, hasa utovu wa usalama, mashariki mwa nchi hiyo. Hata hivyo, Chama cha "Ensemble pour la République, kinachoongozwa na mwanasiasa mashuhuri wa upinzani Moise Katumbi, kinasema mazungumzo hayo yanaweza kufanyika tu iwapo yatawashirikisha wadau wote. Rais Tshisekedi, wanaotekeleza mauaji ya raia, hawapaswi kushirikishwa kwenye mazungumzo hayo. Tunachambua.