Wimbi La Siasa
Kenya: Nini suluhu ya mzozo wa chama cha ODM ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:10
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Chama cha ODM kilichoanzishwa na aliyekuwa Waziri Mkuu nchini Kenya Hayati Raila Odinga, kinapitia mgawanyiko wa kisiasa kuhusu kumuunga mkono rais William Ruto kuwania urais kwa muhula wa pili. Viongozi wa chama hicho wamegawanyika kuhusu mpango huo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Mvutano huu unamaanisha nini ?