Wimbi La Siasa

Kenya: Nini suluhu ya mzozo wa chama cha ODM ?

Informações:

Sinopse

Chama cha ODM kilichoanzishwa na aliyekuwa Waziri Mkuu  nchini Kenya Hayati Raila Odinga, kinapitia mgawanyiko wa kisiasa kuhusu kumuunga mkono rais William Ruto kuwania urais kwa muhula wa pili. Viongozi  wa chama hicho wamegawanyika kuhusu mpango huo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Mvutano  huu unamaanisha nini ?