Wimbi La Siasa
Kutekwa na kufunguliwa mashtaka kwa Maduro nchini Marekani kunamaanisha nini ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:27
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Rais Donald Trump, Januari 3, 2026, aliagiza operesheni maalum ya wanajeshi wa Marekani nchini Venezuela, kumteka kiongozi wa nchi hiyo Nicolas Maduro. Baada ya kitendo hicho ambacho kimelaaniwa duniani, Maduro alisafirishwa jijini New York na kufunguliwa mashtaka ya kuongoza biashara haramu ya dawa za kulevya nchini Marekani. Tunachambua hatua hii ya rais Trump, inamaanisha nini ?