Wimbi La Siasa

Uganda: Je, uchaguzi mkuu utakuwa huru na haki ?

Informações:

Sinopse

Uchaguzi wa wabunge na urais nchini Uganda unafanyika Januari 15, 2026. Rais wa muda mrefu Yoweri Museveni ambaye ameongoza kwa miaka 40, anapambana tena na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine. Upinzani umelalamikia kunyanyaswa, wakati huu mtandao wa Interneti ukizimwa. Je, uchaguzi huu utakuwa huru na haki ? Tunachambua kutoka Kampala.