Habari Rfi-ki
Kauli ya mkutano wa SADC na EAC kuhusu amani nchini DRC waibua maoni mseto
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:58
- Mais informações
Informações:
Sinopse
kwenye makala ya leo tunaangazia hatua ya wakuu wa nchi za #SADC na EAC kutaka kusitishwa mapigano maramoja ,na kutaka kuondoka kwa vikosi vya kigeni mashariki mwa #DRC, pamoja na Serikali ya Kinshasa kuzungumza moja kwa moja na waasi wa #M23 ambapo wito huo umepokelewa kwa hisia mseto na raia wa ukanda.