Habari Rfi-ki
Hatua ya Kenya kuondoa mahojiano kwa waomba vitambulisho yaibua hisia mseto
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:57
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Makala haya yanaangazia hatua ya Serikali ya kenya kusema hakutakuwa na haja ya mahojiano kwa waomba vitambulisho toka katika maeneo ya mpakani, uamuzi ambao umeibua mjadala kuhusu masuala ya usalama.Tulimuuliza msikilizaji anazungumziaje hatua hiyo ya Kenya vile vile nchini mwake hali ikoje