Habari Rfi-ki
Kauli ya rais Donald Trump kuhamisha wapalestina yapingwa vikali
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:00
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Kwenye kipindi cha leo tunaangazia kauli tata ya Rais Donald #trump, kuhusu mzozo wa #Gaza, safari hii akitishia kuvunjika kwa mkataba wa usitishaji mapigano, ikiwa Hamas haitawaachia mateka wote ifikapo Jumamosi ya wiki hii.Juma lililopita alidai kuwa nchi yake itachukua udhibiti wa Gaza na kuwahamisha Wapalestina.Tulimuuliza mskilizaji anazungumziaje kauli hiyo ya Trump and je huenda zikachochea mzozo zaidi kati ya #Israel na Hamas?