Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Umuhimu wa matumizi ya madawa ya kiasili kunyunyuzia mimea shambani
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:10:01
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Makala haya yanazungumzia jinsi Wakulima wengi nchini Kenya wanakumbatia mbinu mpya za kudhibiti wadudu waharibifu wa mimea kwa kutumia madawa ya kiasili badala ya kemikali za viwandani. Kutokana na madhara yanayotokana na matumizi ya dawa za kemikali,wakulima hawa sasa wanageukia madawa hayo asilia kuimarisha mazao na mazingira , Mimea kama vile ,pareto,kitunguu saumu,pilipili na hata mtunguja pori yaani sodom apple sasa inatumika kutengeneza madawa hayo.