Gurudumu La Uchumi
Migogoro inavyotatiza ukuaji wa uchumi, maendeleo na utawala bora Afrika
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:43
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Hujambo msikilizaji wa RFI Kiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu, makala ni Gurudumu la Uchumi na leo hii tunazungumzia kuhusu athari za kiuchumi kutokana na mizozo kwenye nchi za Afrika.Tutazungumza na Hamduni Marcel, mchambuzi wa siasa za kimataifa akiwa Tanzania na Ali Mkimo, mchambuzi wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania.