Jua Haki Zako
Serikali ya Uganda yapata shinikizo kumwachia kiongozi wa upinzaji Kizza Besigye
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:58
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Serikali ya Uganda inapata shinikizo kutoka kwa wapinzani na watetezi wa haki za binadamu kumwachia huru mwanasiasa mkongwe Kizza Besigye anayekabiliwa na mashaka katika Mahakama ya kijeshi ambaye kwa siku kadhaa sasa amegoma kula akiwa gerezani, hali ambayo imedhoofisha afya yake.Tulimuuliza msikilizaji anazungumzia vipi masaibu yanayomkumba Besigye na anafikiri ni kwanini inachukua muda kuihamisha kesi ya mwanasiasa huyo kutoka Mahakama ya kijeshi kwenda kwenye Mahakama za kiraia ?