Siha Njema
Ugonjwa wa Ukoma bado ni changamoto kubwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:08
- Mais informações
Informações:
Sinopse
DRC imeripoti maambukizi ya Ukoma mwisho wa mwaka jana na pia mwaka huu Ukoma ni ugonjwa unaoathiri sana ngozi na unaweza kuharibu baadhi ya viungo kama vile mikono ,miguu na hufanya mtu kutengwa na jamii